Hukumu Ya Kufuturu Kabla Ya Kuzama Jua
Shaykh Yahyaa Al-Hajuwriy
SWALI:
Tulikuwa katika Swawm ya Ramadhwaan, akaadhini muadhini kabla ya kuzama jua kwa makosa sisi tukafuturu, lipi la wajibu kwetu?
JIBU:
Ni wajibu kwenu kulipa siku hio kutokana na kauli sahihi ya Allaah (´Azza wa Jalla): َ
“Kisha timizeni Swiyaam mpaka usiku.” [Al-Baqarah: 2:187]
Na ataefuturu kabla ya kutimia Swawm ni wajibu kwake kurudi siku hio.
Na ataefuturu kabla ya kutimia Swawm ni wajibu kwake kurudi siku hio.
0 Comments