Du’aa Za Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)
Kuomba Kinga Kutokana Na Shari Ulizotenda Na Shari Usizotenda
اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ مَا عَمِلْتُ وَمِنْ شَرِّ مَا لَمْ أَعْمَلْ
Allaahumma inniy a’uwdhu bika min sharri maa ‘amiltu wamin sharri maa lam a’-amal
Ee Allaah, hakika mimi najikinga Kwako kutokana na shari nilizotenda na shari nisizotenda.
[Muslim, Abuu Daawuwd, An-Nasaaiy, Ibn Maajah, Ahmad]
Post a Comment