Mtu alimuuliza Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) akamwambia:
"Eee Abaa 'Abdillaah! Je, naweza kuswali nyuma ya mwenye kunywa pombe?
Akajibu: "Hapana."
Akauliza (yule mtu): "Je, naweza kuswali nyuma ya anayesema Qur-aan imeumbwa?
Akajibu (Imaam Ahmad): Subhaana Allaah! Nakukataza kuhusiana na Muislamu na wewe unaniuliza kuhusiana na Kafiri?!
[Twabaqaat Al-Hanaabilah, 2/378]
Post a Comment