Hakuna taarifa zozote tulizozipata za kuonekana mwezi, baada ya juhudi kubwa za kufuatilia kwa karibu sana.
Na kwa kuifanyia kazi Hadiyth ifuatayo, tutakamilisha kesho Jumapili siku thelathini za Ramadhwaan na in Shaa Allaah Jumatatu, itakuwa ni siku ya kwanza ya Iyd.
Amesema Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam):
صوموا لرؤيته وأفطروا لرؤيته فإن غم عليكم فأكملوا عدة شعبان ثلاثين (رواه البخاري)
((Fungeni kwa kuonekana (mwezi) na fungueni kwa kuonekana (mwezi) na kama umezingwa na wingu (usionekane) kamilisheni idadi (ya siku 30) za Sha'baan)) [Al-Bukhaariy]
Astronomer Abdullah Al-Khudairi: “The data say that the crescent of the month of Shawwal will not be seen this evening”
— Haramain Sharifain (@hsharifain) April 30, 2022
pic.twitter.com/b1PRUD6Zj6
0 Comments