Buluwgh Al-Maraam ni mkusanyiko wa Hadiyth zenye hukmu za ki-Fiqhi, alizozikusanya Imaam Al-Haafidwh Ibn Hajar Al-‘Asqalaaniy (Rahimahu Allaah) aliyezaliwa mwaka 773H mji wa Cairo.
Hutokuta katika Buluwgh Al-Maraam Hadiyth zinazohusiana na ‘Aqiydah kama kuhusu Rusuli wa Allaah na Manabii, Malaika, Majini, Jannah, Moto na kadhaalika. Bali ni Hadiyth zinazohusiana na hukmu za ‘ibaadah na mi’aamalaat.
9
|
Kitabu Cha Jinai (Na Kisasi)
|
كِتَابُ اَلْجِنَايَاتِ
|
10
|
Kitabu Cha Adhabu Rasmi
|
كِتَابُ اَلْحُدُودِ
|
11
| ||
12
| ||
13
|
Kitabu Cha Viapo Na Nadhiri
|
كِتَابُ اَلْأَيْمَانُ وَالنُّذُورُ
|
14
|
Kitabu Cha Hukmu
|
كِتَاب اَلْقَضَاءِ
|
15
|
Kitabu Cha Kuacha Huru Mtumwa
|
كِتَابُ اَلْعِتْقِ
|
16
|
Kitabu Cha Kujumuisha
|
كِتَابُ اَلْجَامِعِ
|
Post a Comment